Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete yaongeza ushirikiano wa kimatibabu ya kibingwa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ipo mbioni kuanzisha ushirikiano katika kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa kushirikiana na madaktari kutoka Hospitali ya Ostrava iliyopo Jamhuri ya Watu wa Czech. Akizungumza baada ya kufanya ziara JKCI jana Jijini… Read More